Zaburi 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka. Methali 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+ Matendo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+
7 Anayakusanya maji ya bahari kana kwamba ni kwa bwawa,+Akiweka katika maghala maji yenye kututumuka.
24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+