Zaburi 92:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+ Zaburi 107:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Watu na wamshukuru Yehova kwa ajili ya fadhili zake zenye upendo+Na kwa ajili ya kazi zake za ajabu kwa wana wa binadamu.+ Zaburi 145:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao wataongea juu ya nguvu za mambo yako yenye kuogopesha;+Nami nitautangaza ukuu wako.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
15 Watu na wamshukuru Yehova kwa ajili ya fadhili zake zenye upendo+Na kwa ajili ya kazi zake za ajabu kwa wana wa binadamu.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+