Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Yehova amesema hivi, ‘Katika mahali hapa ambapo ninyi mtakuwa mkisema ni ukiwa usio na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu ambazo ziko ukiwa+ pasipo na mwanadamu wala mkaaji wala mnyama wa kufugwa, bado itasikiwa+

  • Yeremia 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi, sauti ya wale wanaosema: “Msifuni Yehova wa majeshi, kwa maana Yehova ni mwema;+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo!”’+

      “‘Watakuwa wakileta toleo la shukrani katika nyumba ya Yehova,+ kwa maana nitawarudisha mateka wa nchi kama pale mwanzoni,’+ Yehova amesema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki