Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+

      Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+

      Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+

      Ili ampe mfalme wake nguvu,+

      Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+

  • Zaburi 82:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Usimame, Ee Mungu, uihukumu dunia;+

      Kwa maana wewe mwenyewe unapaswa kuyamiliki mataifa yote.+

  • Zaburi 96:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+

      Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+

      Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+

  • Zaburi 110:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+

      Atafanya maiti zijae.+

      Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+

  • Matendo 17:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki