Kumbukumbu la Torati 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+ Zaburi 78:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na kwamba wao watie uhakika wao katika Mungu+Nao wasisahau matendo ya Mungu+ bali washike amri zake.+ Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+
17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+
7 Na kwamba wao watie uhakika wao katika Mungu+Nao wasisahau matendo ya Mungu+ bali washike amri zake.+
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+