Zaburi 67:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hakika dunia itatoa mazao yake;+Mungu, Mungu wetu, atatubariki.+ Zaburi 72:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Milima na iwapelekee watu amani,+Na vilima pia, kwa uadilifu. Isaya 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+ Yakobo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+
23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+
18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+