27 Na ikawa kwamba ilipofika katikati ya mchana Eliya akaanza kuwafanyia dhihaka+ na kusema: “Iteni kwa sauti kubwa, kwa maana yeye ni mungu;+ kwa maana lazima iwe ana kazi fulani, naye ana kinyesi+ na lazima aende chooni.+ Au pengine amelala usingizi naye anapaswa kuamka!”+