Kutoka 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipoinua mkono wake juu, Waisraeli wakawa na nguvu zaidi;+ lakini mara tu alipoushusha mkono wake, Waamaleki wakawa na nguvu zaidi. Yoshua 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha ninyi mtasimama kutoka hapo mlipovizia, nanyi mtalikamata jiji; na Yehova Mungu wenu hakika atalitia jiji hilo mikononi mwenu.+ Yoshua 8:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yoshua naye hakuurudisha nyuma mkono wake ambao alitumia kunyoosha ule mkuki+ mpaka alipokuwa amewaangamiza+ wakaaji wote wa Ai.
11 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipoinua mkono wake juu, Waisraeli wakawa na nguvu zaidi;+ lakini mara tu alipoushusha mkono wake, Waamaleki wakawa na nguvu zaidi.
7 Kisha ninyi mtasimama kutoka hapo mlipovizia, nanyi mtalikamata jiji; na Yehova Mungu wenu hakika atalitia jiji hilo mikononi mwenu.+
26 Yoshua naye hakuurudisha nyuma mkono wake ambao alitumia kunyoosha ule mkuki+ mpaka alipokuwa amewaangamiza+ wakaaji wote wa Ai.