Yoshua 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakamwambia Yoshua: “Yehova ameitia nchi yote mkononi mwetu.+ Na kwa hiyo wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo pia kwa sababu yetu.”+ Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+
24 Nao wakamwambia Yoshua: “Yehova ameitia nchi yote mkononi mwetu.+ Na kwa hiyo wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo pia kwa sababu yetu.”+