Kumbukumbu la Torati 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.) Kumbukumbu la Torati 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akampa utume Yoshua mwana wa Nuni+ na kusema: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza wana wa Israeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ na mimi mwenyewe nitaendelea kuwa pamoja nawe.” Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+
38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.)
23 Naye akampa utume Yoshua mwana wa Nuni+ na kusema: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza wana wa Israeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ na mimi mwenyewe nitaendelea kuwa pamoja nawe.”