Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 95:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+

      Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+

  • Mathayo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 bali, badala ya hivyo, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Matendo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa katika siku hizo Petro akasimama katikati ya akina ndugu na kusema (watu wote pamoja katika ule umati walikuwa karibu 120):

  • Matendo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja+ na kupaaza sauti yake na kuwaambia hivi: “Watu wa Yudea nanyi nyote wakaaji wa Yerusalemu,+ acheni hili lijulikane kwenu nanyi tegeni sikio msikie maneno yangu.

  • Waebrania 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki