Waroma 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani hiyo wakiwa katika hali ya kutotahiriwa ambayo baba+ yetu Abrahamu alikuwa nayo. Wagalatia 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikiwa tunaishi kwa roho, na tuendelee kutembea kwa utaratibu pia kwa roho.+ Wafilipi 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa vyovyote, kwa kadiri ambavyo tumefanya maendeleo, na tuendelee kutembea kwa utaratibu+ katika kawaida hiyohiyo.
12 na baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani hiyo wakiwa katika hali ya kutotahiriwa ambayo baba+ yetu Abrahamu alikuwa nayo.
16 Kwa vyovyote, kwa kadiri ambavyo tumefanya maendeleo, na tuendelee kutembea kwa utaratibu+ katika kawaida hiyohiyo.