-
Waroma 4:12Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
12 na baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu washikamanao sana na tohara, bali pia kwa wale watembeao kwa utaratibu katika hatua za imani hiyo wakiwa katika hali ya kutotahiriwa ambayo baba yetu Abrahamu alikuwa nayo.
-