12 na ili awe baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani ambayo baba yetu Abrahamu+ alikuwa nayo katika hali ya kutotahiriwa.
12 na baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani hiyo wakiwa katika hali ya kutotahiriwa ambayo baba+ yetu Abrahamu alikuwa nayo.