17 Wanaume wazee wanaosimamia+ kwa njia nzuri wahesabiwe kustahili heshima+ mara mbili, hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+
24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+
9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.