1 Timotheo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+ 2 Timotheo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+
10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+
13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+