Waroma 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+ 2 Wakorintho 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana ikiwa tulikuwa tumerukwa na akili+ yetu, ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu; ikiwa tuna utimamu wa akili,+ ni kwa ajili yenu. 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+
3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+
13 Kwa maana ikiwa tulikuwa tumerukwa na akili+ yetu, ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu; ikiwa tuna utimamu wa akili,+ ni kwa ajili yenu.
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+