3 Mimi hapa. Leteni jibu kinyume changu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta+ wake: Nimechukua ng’ombe wa nani au nimechukua punda wa nani+ au nimempunja nani au nimemponda nani au nimepokea kutoka kwa mkono wa nani pesa za hongo ili nizitumie kufunga macho yangu?+ Nami nitawarudishia ninyi.”+
12 Ikiwa watu wengine hushiriki mamlaka hii juu yenu,+ je, si hivyo hata zaidi kwetu? Hata hivyo, sisi hatujatumia mamlaka hii,+ bali tunavumilia mambo yote, ili tusiweke kizuizi chochote kwa habari njema+ juu ya Kristo.
7 Kwa maana mwangalizi lazima awe bila shtaka+ kama msimamizi-nyumba+ wa Mungu, asiwe mshupavu,+ asiwe mwepesi wa ghadhabu,+ asiwe mlevi mwenye fujo,+ asiwe mwenye kupiga watu,+ asiwe mwenye pupa ya pato lisilo la haki,+