Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi hapa. Leteni jibu kinyume changu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta+ wake: Nimechukua ng’ombe wa nani au nimechukua punda wa nani+ au nimempunja nani au nimemponda nani au nimepokea kutoka kwa mkono wa nani pesa za hongo ili nizitumie kufunga macho yangu?+ Nami nitawarudishia ninyi.”+

  • Mathayo 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ponyeni wagonjwa,+ fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, fukuzeni roho waovu. Mlipokea bure, toeni bure.+

  • 1 Wakorintho 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa watu wengine hushiriki mamlaka hii juu yenu,+ je, si hivyo hata zaidi kwetu? Hata hivyo, sisi hatujatumia mamlaka hii,+ bali tunavumilia mambo yote, ili tusiweke kizuizi chochote kwa habari njema+ juu ya Kristo.

  • 2 Wakorintho 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mtupe sisi nafasi.+ Hatujamkosea yeyote, hatujamharibu yeyote, hatujamtumia yeyote kwa kujifaidi.+

  • Tito 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana mwangalizi lazima awe bila shtaka+ kama msimamizi-nyumba+ wa Mungu, asiwe mshupavu,+ asiwe mwepesi wa ghadhabu,+ asiwe mlevi mwenye fujo,+ asiwe mwenye kupiga watu,+ asiwe mwenye pupa ya pato lisilo la haki,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki