Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 naye hakuwa akitoa chochote apate faida+ wala hakuwa akichukua riba yoyote;+ naye alikuwa akiuepusha mkono wake na ukosefu wa haki;+ naye alikuwa akiitenda haki ya kweli kati ya mtu na mwenzake;+

  • Danieli 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+

  • 1 Wathesalonike 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, kuhusu tulivyokuwa washikamanifu na waadilifu na wasiolaumika+ kwenu ninyi waamini.

  • 1 Timotheo 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, anapaswa pia kuwa na ushuhuda mzuri kutoka kwa watu walio nje,+ ili asianguke katika shutuma na mtego+ wa Ibilisi.

  • Tito 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana mwangalizi lazima awe bila shtaka+ kama msimamizi-nyumba+ wa Mungu, asiwe mshupavu,+ asiwe mwepesi wa ghadhabu,+ asiwe mlevi mwenye fujo,+ asiwe mwenye kupiga watu,+ asiwe mwenye pupa ya pato lisilo la haki,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki