Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida.

  • Zaburi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+

      Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+

      Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+

  • Luka 6:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Badala yake, endeleeni kuwapenda adui zenu na kutenda mema na kukopesha+ bila faida, bila kutumainia kurudishiwa chochote; na thawabu yenu itakuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Zaidi,+ kwa sababu yeye ni mwenye fadhili+ kuwaelekea wasio na shukrani na waovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki