Kutoka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+ Mambo ya Walawi 25:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe. Kumbukumbu la Torati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida. Ezekieli 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ameuepusha mkono wake na mwenye kuteseka; hajachukua riba+ wala faida+ yoyote; ameyafanya maamuzi yangu ya hukumu;+ ametembea katika amri zangu;+ yeye mwenyewe hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake.+ Hakika ataendelea kuishi.+
25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+
36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.
19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida.
17 ameuepusha mkono wake na mwenye kuteseka; hajachukua riba+ wala faida+ yoyote; ameyafanya maamuzi yangu ya hukumu;+ ametembea katika amri zangu;+ yeye mwenyewe hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake.+ Hakika ataendelea kuishi.+