Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.

  • Kumbukumbu la Torati 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida.

  • Nehemia 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.”

      Pia nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.+

  • Luka 6:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Badala yake, endeleeni kuwapenda adui zenu na kutenda mema na kukopesha+ bila faida, bila kutumainia kurudishiwa chochote; na thawabu yenu itakuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Zaidi,+ kwa sababu yeye ni mwenye fadhili+ kuwaelekea wasio na shukrani na waovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki