Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+

      Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+

  • Zaburi 55:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtupie Yehova mzigo wako,+

      Naye mwenyewe atakutegemeza.+

      Hatamwacha kamwe mwadilifu atikisike.+

  • Methali 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hakuna mtu atakayefanywa imara kwa uovu;+ lakini mizizi ya waadilifu haitatikiswa.+

  • 2 Petro 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu hiyo, akina ndugu, fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa+ kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki