Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+ Zaburi 55:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtupie Yehova mzigo wako,+Naye mwenyewe atakutegemeza.+Hatamwacha kamwe mwadilifu atikisike.+ Methali 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hakuna mtu atakayefanywa imara kwa uovu;+ lakini mizizi ya waadilifu haitatikiswa.+ 2 Petro 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu hiyo, akina ndugu, fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa+ kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo.+
10 Kwa sababu hiyo, akina ndugu, fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa+ kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo.+