Zaburi 101:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Macho yangu yako juu ya waaminifu wadunia,+Ili wapate kukaa pamoja nami.+Yule anayetembea katika njia isiyo na kosa,+Yeye ndiye atakayenihudumia.+ Methali 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+ Matendo 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, akina ndugu, jitafutieni+ wanaume saba waliothibitishwa kutoka kati yenu, wenye kujaa roho na hekima,+ ili tupate kuwaweka rasmi juu ya kazi hii ya lazima; 1 Wakorintho 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+
6 Macho yangu yako juu ya waaminifu wadunia,+Ili wapate kukaa pamoja nami.+Yule anayetembea katika njia isiyo na kosa,+Yeye ndiye atakayenihudumia.+
20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+
3 Kwa hiyo, akina ndugu, jitafutieni+ wanaume saba waliothibitishwa kutoka kati yenu, wenye kujaa roho na hekima,+ ili tupate kuwaweka rasmi juu ya kazi hii ya lazima;
2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+