Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Luka 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Naye Bwana akasema: “Ni nani kwa kweli aliye msimamizi-nyumba mwaminifu,+ mwenye busara,+ ambaye bwana wake atamweka rasmi juu ya watumishi wake kuendelea kuwapa kipimo chao cha chakula katika wakati unaofaa?+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+
42 Naye Bwana akasema: “Ni nani kwa kweli aliye msimamizi-nyumba mwaminifu,+ mwenye busara,+ ambaye bwana wake atamweka rasmi juu ya watumishi wake kuendelea kuwapa kipimo chao cha chakula katika wakati unaofaa?+