2 Kwa hiyo Abrahamu akamwambia mtumishi wake, yule mwenye umri mkubwa zaidi wa nyumbani mwake, aliyekuwa anasimamia vyote alivyokuwa navyo:+ “Tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu,+
15 Basi, akina ndugu, simameni imara+ na mwendelee kuyashika mapokeo+ mliyofundishwa, iwe kwamba ilikuwa kupitia ujumbe wa maneno au kupitia barua yetu.
10 Kwa kadiri ambayo kila mmoja amepokea zawadi, itumieni katika kuhudumiana kama wasimamizi-nyumba wazuri wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu zinazoonyeshwa kwa njia mbalimbali.+