Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+ 1 Wakorintho 15:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana. 1 Wakorintho 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kaeni macho,+ simameni imara katika imani,+ endeleeni kuwa kama wanaume,+ iweni na nguvu.+
58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.