Zaburi 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+Na kusema kweli katika moyo wake.+ Zaburi 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+
4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+
14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+