Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Yehova alikuwa pamoja na Yosefu hata akafanikiwa,+ akaja kusimamia nyumba ya bwana wake, yule Mmisri.

  • Yoshua 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Yehova akawa pamoja na Yoshua,+ na sifa yake ikaenea katika dunia yote.+

  • 1 Samweli 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na itakuwa kwamba ishara+ hizo zitakapokuja juu yako, jifanyie lile ambalo mkono wako unaweza,+ kwa sababu Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.+

  • 1 Samweli 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mmoja wa watumishi akajibu na kusema: “Tazama! Nimeona jinsi mwana fulani wa Yese Mbethlehemu alivyo mwenye ustadi wa kukipiga,+ naye ni shujaa,+ mwanamume mwenye nguvu,+ na mwanamume wa vita na msemaji mwenye akili+ na mwanamume mwenye umbo zuri,+ na Yehova yupo pamoja naye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki