Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+

      Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+

      Na ambao majani yake hayanyauki,+

      Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki