Ufunuo 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na zile pembe kumi ulizoona zinamaanisha wafalme kumi,+ ambao bado hawajapokea ufalme, lakini wanapokea mamlaka wakiwa wafalme saa moja pamoja na yule mnyama-mwitu.
12 “Na zile pembe kumi ulizoona zinamaanisha wafalme kumi,+ ambao bado hawajapokea ufalme, lakini wanapokea mamlaka wakiwa wafalme saa moja pamoja na yule mnyama-mwitu.