Danieli 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na kuhusu zile pembe kumi, kuna wafalme kumi watakaosimama kutoka katika ufalme huo;+ na bado mwingine atasimama baada yao, naye atakuwa tofauti na wale wa kwanza,+ naye atawafedhehesha wafalme watatu.+
24 Na kuhusu zile pembe kumi, kuna wafalme kumi watakaosimama kutoka katika ufalme huo;+ na bado mwingine atasimama baada yao, naye atakuwa tofauti na wale wa kwanza,+ naye atawafedhehesha wafalme watatu.+