Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na kuhusu zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake,+ na ile pembe nyingine+ iliyotokea na ambayo mbele yake tatu zilianguka,+ naam, ile pembe iliyokuwa na macho na kinywa kinachosema mambo makuu+ na ambayo umbo lake lilikuwa kubwa kuliko zile pembe nyingine.

  • Ufunuo 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akasimama tuli juu ya mchanga+ wa bahari.

      Nami nikaona mnyama-mwitu+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi+ na vichwa saba,+ na mataji kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.+

  • Ufunuo 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na zile pembe kumi ulizoona zinamaanisha wafalme kumi,+ ambao bado hawajapokea ufalme, lakini wanapokea mamlaka wakiwa wafalme saa moja pamoja na yule mnyama-mwitu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki