20 na kuhusu zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake,+ na ile pembe nyingine+ iliyotokea na ambayo mbele yake tatu zilianguka,+ naam, ile pembe iliyokuwa na macho na kinywa kinachosema mambo makuu+ na ambayo umbo lake lilikuwa kubwa kuliko zile pembe nyingine.
Nami nikaona mnyama-mwitu+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi+ na vichwa saba,+ na mataji kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.+
12 “Na zile pembe kumi ulizoona zinamaanisha wafalme kumi,+ ambao bado hawajapokea ufalme, lakini wanapokea mamlaka wakiwa wafalme saa moja pamoja na yule mnyama-mwitu.