24 Na kuhusu zile pembe kumi, kuna wafalme kumi watakaosimama kutoka katika ufalme huo;+ na bado mwingine atasimama baada yao, naye atakuwa tofauti na wale wa kwanza,+ naye atawafedhehesha wafalme watatu.+
Nami nikaona mnyama-mwitu+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi+ na vichwa saba,+ na mataji kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.+