Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 “Na kama vile ulivyoona kuwa nyayo na vidole vya miguu vilikuwa sehemu moja ni udongo uliofinyangwa na nyingine ni chuma,+ ufalme huo utakuwa umegawanyika,+ lakini ugumu fulani wa chuma utakuwa ndani yake, kama vile ulivyoona chuma kimechanganyikana na udongo mbichi.+

  • Danieli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nikaendelea kuziangalia sana zile pembe, na, tazama! pembe nyingine, iliyo ndogo,+ ikatokea katikati ya hizo, na pembe tatu kati ya zile za kwanza zikang’olewa mbele yake. Na, tazama! kulikuwa na macho kama macho ya mwanadamu katika pembe hiyo, na kulikuwa na kinywa kinachosema mambo makuu.+

  • Danieli 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na katika moja ya hizo ikatoka pembe nyingine ndogo,+ nayo ikaendelea kuwa kubwa zaidi kuelekea upande wa kusini na kuelekea mashariki na kuelekea lile Pambo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki