1 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+ Zaburi 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ataikata midomo yote iliyo laini,Ulimi unaosema maneno makuu,+ Danieli 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+ Ufunuo 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akapewa kinywa kinachosema mambo makuu+ na makufuru,+ naye akapewa mamlaka ya kutenda kwa miezi 42.+
3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+
25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+
5 Naye akapewa kinywa kinachosema mambo makuu+ na makufuru,+ naye akapewa mamlaka ya kutenda kwa miezi 42.+