Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,

      Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

      Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+

  • Zaburi 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ataikata midomo yote iliyo laini,

      Ulimi unaosema maneno makuu,+

  • Danieli 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+

  • Ufunuo 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akapewa kinywa kinachosema mambo makuu+ na makufuru,+ naye akapewa mamlaka ya kutenda kwa miezi 42.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki