Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+

      Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!

      Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+

  • 1 Samweli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,

      Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

      Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+

  • Zaburi 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wamejizungushia mafuta yao wenyewe;+

      Kwa vinywa vyao wamesema kwa majivuno;+

  • Ezekieli 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, mwambie kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi:

      “ ‘ “Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ nawe unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.+ Katika kiti cha mungu nimejiketisha mwenyewe,+ katika moyo wa bahari kuu,’+ wakati ambapo wewe ni mtu wa udongo,+ wala si mungu,+ nawe unaendelea kuufanya moyo wako kama moyo wa mungu—

  • 2 Petro 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki