12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Iko juu ya kila mtu aliyejikweza na aliye juu sana na juu ya kila mtu aliyejiinua juu au aliye chini;+
5 Kwa wingi wa hekima yako,+ kwa mali zako za mauzo,+ umefanya utajiri wako uwe mwingi,+ nao moyo wako ukaanza kuwa na majivuno kwa sababu ya utajiri wako.” ’+