Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Pigeni mayowe,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu!+ Itakuja kama uporaji kutoka kwa Mweza-Yote.+

  • Yeremia 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na siku ile ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku yake ya kisasi ya kujilipizia kisasi juu ya adui zake.+ Na hakika upanga utakula na kushiba na kujijaza damu yao, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, ana dhabihu+ katika nchi ya kaskazini kando ya mto Efrati.+

  • Ezekieli 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hakika ninyi hamtaingia katika mapengo,+ wala hamtajenga ukuta wa mawe+ kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kusimama vitani katika ile siku ya Yehova.”+

  • Amosi 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “ ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+ Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+ Itakuwa giza, wala si nuru,+

  • 1 Wathesalonike 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki