Isaya 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Iko juu ya kila mtu aliyejikweza na aliye juu sana na juu ya kila mtu aliyejiinua juu au aliye chini;+ Yoeli 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ole wake siku ile;+ kwa sababu siku ya Yehova iko karibu,+ nayo itakuja kama mporaji kutoka kwa Mweza-Yote!
12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Iko juu ya kila mtu aliyejikweza na aliye juu sana na juu ya kila mtu aliyejiinua juu au aliye chini;+
15 “Ole wake siku ile;+ kwa sababu siku ya Yehova iko karibu,+ nayo itakuja kama mporaji kutoka kwa Mweza-Yote!