36 “Na mfalme huyo atafanya kulingana na mapenzi yake, naye atajiinua na kujitukuza juu ya kila mungu;+ naye atasema mambo ya ajabu kinyume cha Mungu wa miungu.+ Naye atapata mafanikio mpaka shutuma ile itakapokuwa imetimizwa;+ kwa sababu jambo lililoamuliwa lazima lifanywe.