Kumbukumbu la Torati 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+ Zaburi 82:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Mungu amesimama katika kusanyiko+ la Mungu;+Anahukumu katikati ya miungu:+ Zaburi 136:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mshukuruni Mungu wa miungu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+
2 Mshukuruni Mungu wa miungu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+