Kutoka 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao watawahukumu watu kwenye kila pindi inayofaa; na itakuwa kwamba kila kesi kubwa watakuletea wewe,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe wataishughulikia wakiwa waamuzi. Kwa hiyo jirahisishie mambo, nao wataubeba mzigo pamoja nawe.+ Zaburi 82:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Mimi mwenyewe nimesema, ‘Ninyi ni miungu,+Nanyi nyote ni wana wa Aliye Juu Zaidi.+ Yohana 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao, na bado Andiko haliwezi kubatilishwa,+
22 Nao watawahukumu watu kwenye kila pindi inayofaa; na itakuwa kwamba kila kesi kubwa watakuletea wewe,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe wataishughulikia wakiwa waamuzi. Kwa hiyo jirahisishie mambo, nao wataubeba mzigo pamoja nawe.+
35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao, na bado Andiko haliwezi kubatilishwa,+