Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye yule mwana wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulitukana lile Jina+ na kulilaani.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Basi jina la mama yake lilikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani.

  • Hesabu 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote.

  • Kumbukumbu la Torati 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki