Danieli 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Mfalme huyo atafanya apendavyo, naye atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu; naye atasema mambo ya kushangaza dhidi ya Mungu wa miungu.+ Naye atafanikiwa mpaka shutuma itakapofikia mwisho; kwa sababu kilichoamuliwa lazima kitendeke. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:36 dp 275-276 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:36 Unabii wa Danieli, kur. 275-276 Mnara wa Mlinzi,11/1/1993, uku. 18
36 “Mfalme huyo atafanya apendavyo, naye atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu; naye atasema mambo ya kushangaza dhidi ya Mungu wa miungu.+ Naye atafanikiwa mpaka shutuma itakapofikia mwisho; kwa sababu kilichoamuliwa lazima kitendeke.