Zaburi 94:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanaendelea kuropoka, wanaendelea kusema ovyoovyo;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza wanaendelea kujivuna wenyewe.+ Yakobo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada+ na bado hauongozi ulimi wake,+ bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe,+ namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.+ Yakobo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+
4 Wanaendelea kuropoka, wanaendelea kusema ovyoovyo;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza wanaendelea kujivuna wenyewe.+
26 Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada+ na bado hauongozi ulimi wake,+ bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe,+ namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.+
8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+