Zaburi 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+ Zaburi 73:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wameweka kinywa chao mbinguni,+Nao ulimi wao hutembea huku na huku duniani.+ Zaburi 144:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+
18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+
15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+