Ayubu 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana maneno yangu kwa kweli si uwongo;Yeye aliye mkamilifu katika ujuzi+ yuko pamoja nawe. Ayubu 37:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, unajua habari za kuelea kwa wingu,+Kazi za ajabu zake Yeye aliye mkamilifu katika ujuzi?+ Zaburi 147:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana wetu ni mkuu na mwenye nguvu nyingi;+Uelewaji wake hauwezi kusimuliwa.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!