Ayubu 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana maneno yangu kwa kweli si uwongo;Yeye aliye mkamilifu katika ujuzi+ yuko pamoja nawe. Zaburi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+
30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+