24 Na kuhusu zile pembe kumi, kuna wafalme kumi watakaosimama kutoka katika ufalme huo;+ na bado mwingine atasimama baada yao, naye atakuwa tofauti na wale wa kwanza,+ naye atawafedhehesha wafalme watatu.+
11 Nami nikamwona mnyama-mwitu+ mwingine akipanda kutoka katika dunia,+ naye alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akaanza kusema kama joka+ mkubwa.